.
.
.
.
.
.
Mi
bado niko hapa mtu wangu wa nguvu, kitu wamenifurahisha ni kwamba
hakuna kiingilio… ni time nzuri ya kukutana na kula hizi nyama choma za
bar zinazoshindania milioni 4 kwa ubora wa kuchoma nyama!!!!
Hii ndio stage yenyewe unaambiwa wakali African Stars Twanga Pepeta na wengine watakuepo hapa muda mfupi ujao
Comments
Post a Comment