BIFU ZITO KATI YA RAYUU NA SINTAH SOMA HAPA

Bifu kati ya waigizaji wawili Sintah na Rayuu halionekani kuisha leo wala kesho, wasanii hao wametupiana tena maneno makavu Sinta kama kawaida yake akiwa ndiye kalianzisha kwa kuweka picha ya Rayuu katika blog yake aliyochora tattoo mgongoni hivi karibuni na kuandika kichwa cha habari sambamba na picha hiyo kisemacho "KIRARU RARU ANATAKA NINI HASWA" halafu kuandika "ni nani huyu?? Daah umaarufu hauji hivihivi bwana bila kujitoa muhanga, sitochoka kumsahisha maana hii ni website pekee isiyo na ufagio, ukifanya mazuri tutaku support na ukifanya mabaya tutakuchana. mtambo wa kurekebisha tabia (sintah.com)". Hata hivyo wachangiaji wengi katika blog ya Sintah walionekana kumtetea Rayuu kuwa picha yake haina tatizo kwa kuwa ameonyesha tattoo yake mgongani na siyo kukaa uchi. Wengi waliishia kuandika comment za kumtukana Sintah.

Kwa upande mwingine Rayuu alijibu mapigo kupitia facebook kwa kuandika hivi

 

Comments