MSANII WA HIP HOP ARUSHA - "GENTRIEZ" AWATAHADHARISHA MASHABIKI WAKE WA "USA RIVER ARUSHA" KUEPUKANA NA MAPROMOTER FAKE WANAOTUMIA JINA LAKE.




Kupitia ukurasa wake wa Facebook, msanii wa miondoko ya hip hop kutoka Arusha - Gentriez Mwakitabu ameonekana kukerwa na baadhi ya mapromoter aliowaita kuwa ni "fake".... 
"Napenda kuwafahamisha watu wangu wa usa river Arusha kuwa sinto kuwepo kwenye show ya kesho ambayo inatangazwa kwenye PA (Public Announcement) pamoja na posters.. Hao ni ma promoter fake".

"KUNA MAPROMOTER FAKE WAKO USA RIVER WAMEANDAA SHOW YAO NA KUTANGAZA MIMI NITAKUWEPO KWENYE HIYO SHOW NAPENDA KUWAFAHAMISHA WATU WANGU WA USA RIVER KUWA SITOKUWEPO KWENYE HIYO SHOW NA HAO MAPROMOTER NI FAKE TUNAFANYA UTARATIBU WA KUWATIA NGUVUNI.....TUNAOMBA UWAJULISHE NA WENGINE ONE LOVE MA PEOPLE..

Comments