SANAMU YA KANUMBA KUWEKWA BAGAMOYO APRIL MWAKA HUU

The late Steven Kanumba

Buzz is that sanamu ya popular Tanzanian actor Steven Kanumba aliyefariki mwaka jana mwezi April inatarajiwa kuwekwa katika mji wa kihistoria Bagamoyo ambao unajulikana dunia nzima. inasemekana kuwa sanam hiyo yenye sura ya Kanumba itawekwa siku ya kuazimisha mwaka mmoja wa kifo chake tangu afariki dunia 7 April 2012. Kanumba was a Tanzanian actor and director who started to get international fame before his sudden death which shocked his fans in Tanzania and all over Africa. If the news is to be true hii itakuwa moja ya heshima nzuri ya kumuenzi muigizaji huyo aliyetoa mchango mkubwa katika films za kitanzania ambao utakumbukwa from generation to generation.

Comments