BEHIND THE SCENE YA WIMBO WA NEY FT DIAMOND TAZAMA HAPA WALIVOFUNJA





Sehemu ya kwanza ku shoot ilikuwa New Africa Hotel
 Hapa Ney akiwa na maua

 Diamond Platinum & Ney
 Dj Ommy Crazy na Dancer wa Diamond

 Wasafi


 Flowers katika pozi pamoja na Grace Shikide
 Bebes matataaaaaaaaaa
 Bebes matataaaaaaaaaaaa

 Hapa wakicheza kamali huku wakiwa wana Battle

 Ilikuwa poa sana
 Ulimi huo eeh!

 Hapa ni sehemu ya pili, eneo la Urafiki
Majembe ya Manzese 
 Chagua moja
 Halla!
 Utaipenda tu
 Diamond akijiandaa
 Wananchi waliojitokeza kushuhudia
Baadhi ya wana ambao nao waliweza kutoa support, Samwel na wengine 
 Hahaha hapa Diamond alitaka ajaribu na yeye kupiga Drums ikabidi nimuachie, kama kaipenda Mkong'oto Jazz Band hivi eeh!

Ney akiwa tayari kwa ku shoot 
 Ommy
 Ney kazini

 Diamond mzigoni


 Chezea watoto wa mjini wewe utaumia
Akhaa! Grace Shikide akifanya yake
 

Comments