STORI YA PENNY KUFUNGUKA UHUSIANO WAKE NA DIAMOND SOMA HII HAPA






Mtangazaji wa DTV anayejulikana kama Penniel Mungilwa ama Vj Penny amabye ni mpenzi wa mwanamziki Diamond plutnumz hivi karibuni  Vj Penny ambapo hiv karibuni Diamond  alianzisha uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa filamu Irene Uwoya.....
Sasa baada ya story kuvuma mpenzi wake amabe ni Vj Penny amezungumza kwa ufupi kuwa wameshayazungumza na Diamond na wako vizuri kwa sasa lakini akasisitiza kuwa asingependa kuliongelea zaidi suala hilo.

 
Pia kwa upande wa jokate Jokate Mwegelo aliyewahi kuwa na uhusiano na Diamond amekanusha  taarifa iliyoandikwa na gazeti moja kuwa amemcheka Irene kwa kunaswa kwenye himaya ya Diamond. “Mimi hivyo vitu havinihusu na wanapenda kupata quotes zangu pasipo hitajika. I don’t know why? I don’t why wanatafuta story. That’s their life kiukweli with whatever they choose to do, more power to them,” amesema Jokate.

Comments