TAZAMA BINTI ALIVONYONGWA NA BOYFRIEND WAKE KWA KUTUMIA SURUALI...!!


Posted by Abdalla wellah


Tukio hili la kikatili limetokea huko Brazil (Cuiaba public square). Inasemekana kuwa binti huyo mwenye miaka 22 aliuawa na watu kisha wakamning'iniza kwa kutumia suruali yake aina ya jeans ili ionekane kama alijinyonga.

Wazazi wa binti huyo wanamshuku 'x-boyfriend' wake kuwa muhusika wa tukio hilo kwani hawakua na maelewano baina yao siku kadhaa kabla ya tukio


Read more: http://talkbongo.blogspot.com/2013/04/ukatili-binti-anyongwa-na-boyfriend.html#ixzz2QFyFIORW

Comments