KWA MTINDO HUU NIKAMA T.I.D AMEACHANA NA MZIKI SASA ANATAFUTA BIFU NA WATU?SOMA HAPA ALICHOKIANDIKA HAPA

Rapper Wakazi ni mmoja kati ya wasanii ambao majina yao hayajatajwa sana kwenye headlines za bongoflevani, hii ni kutokana na msanii huyu kuwa njiani kuelekea juu kwenye game… ameishi Chicago Marekani kwa zaidi ya miaka 7 kabla ya kuamua kurudi nyumbani Tanzania.
 
Wakazi aliRT muda mfupi tu baada ya T.I.D kuandika mcheki kwenye picha hapo chini
.
.
Baada ya Millard Ayo kuweka kwenye twitter na facebook stori 10 za Amplifaya kama kawaida baada ya show, staa wa bongofleva T.I.D aliamua kujibu moja kati ya habari 10 za July 5 2013 zilizowekwa twitter.
.
.
.

.
.
.

Comments