Tanzania ina vijiji 19200, unajua ni vingapi havina mawasiliano ya simu mpaka sasa?

simu simuni

Unaambiwa Tanzania kuna vijiji elfu kumi na tisa na mia mbili kwa mujibu wa sensa ya Mwaka 2012 iliyohusisha makazi na watu ambayo pia ilionyesha Watanzania ni milioni 44.9


Sasa basi, katika hivyo vijiji 19,200 kuna vijiji zaidi ya mia mbili ambavyo mpaka sasa vina tatizo kubwa la mawasiliano, yani ukiwa na simu ya mkononi ni noma… hauwezi kuwasiliana kirahisi sababu hakuna mawasiliano ya uhakika, ni kubahatisha pengine mpaka usimame sehemu flani.

Vijiji ambavyo havina mawasiliano ya simu mpaka sasa ni zaidi mia mbili hilo likiwa ni tatizo sugu.
Idadi ya kupunguza vijiji vyenye tatizo la mawasiliano haijaanza kupunguzwa leo na TCRA (mamlaka ya mawasiliano) kwani kwa miaka mitano iliyopita ilifanyika kazi ya kuvipa mawasiliano ya uhakika vijiji zaidi ya mia moja.

Kwa sasa Serikali inaendelea kuvisaidia hivi vilivyobaki baada ya kupokea msaada wa shilingi bilioni 17.5 kutoka benki ya dunia ambazo zitatumika kujenga minara kwenye vijiji 869 vyenye jumla ya wakazi milioni 1.6.

Ulishawahi kumuona Diamond Platnumz akiwa GYM? Tazama picha hizi zikimuonyesha akiwa GYM leo asubuhi

Mwanamuziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz amaye kwa sasa yupo jijini Nairobi kwaajili ya show atakayo ifanya usiku wa leo ameamuwa ku share picha akiwa GYM kwenye mazoezi aliyo yafanya leo asubuhi.
Nimiongoni mwa picha ambazo amekuwa aki share pamoja na zile za ukumbi ambao atapanda usiku wa leo kwaa jili ya show unaweza zitazama hapa kama bado hujaziona...
'Tazama picha za Diamond Platnumz kwenye stage atakayo fanyia show usiku wa leo na akifanya mazoezi ya show hiyo kwenye hiyo stage.'

Hizi hapa akiwa GYM leo asubuhi.








- See more at: http://www.24hoursmix.com/2014/01/ulishawahi-kumuona-diamond-platnumz.html#.UuJS2DVfsZ0.twitter

Ulishawahi kumuona Diamond Platnumz akiwa GYM? Tazama picha hizi zikimuonyesha akiwa GYM leo asubuhi

Mwanamuziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz amaye kwa sasa yupo jijini Nairobi kwaajili ya show atakayo ifanya usiku wa leo ameamuwa ku share picha akiwa GYM kwenye mazoezi aliyo yafanya leo asubuhi.
Nimiongoni mwa picha ambazo amekuwa aki share pamoja na zile za ukumbi ambao atapanda usiku wa leo kwaa jili ya show unaweza zitazama hapa kama bado hujaziona...
'Tazama picha za Diamond Platnumz kwenye stage atakayo fanyia show usiku wa leo na akifanya mazoezi ya show hiyo kwenye hiyo stage.'

Hizi hapa akiwa GYM leo asubuhi.








- See more at: http://www.24hoursmix.com/2014/01/ulishawahi-kumuona-diamond-platnumz.html#.UuJS2DVfsZ0.twitter

Ulishawahi kumuona Diamond Platnumz akiwa GYM? Tazama picha hizi zikimuonyesha akiwa GYM leo asubuhi

Mwanamuziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz amaye kwa sasa yupo jijini Nairobi kwaajili ya show atakayo ifanya usiku wa leo ameamuwa ku share picha akiwa GYM kwenye mazoezi aliyo yafanya leo asubuhi.
Nimiongoni mwa picha ambazo amekuwa aki share pamoja na zile za ukumbi ambao atapanda usiku wa leo kwaa jili ya show unaweza zitazama hapa kama bado hujaziona...
'Tazama picha za Diamond Platnumz kwenye stage atakayo fanyia show usiku wa leo na akifanya mazoezi ya show hiyo kwenye hiyo stage.'

Hizi hapa akiwa GYM leo asubuhi.








- See more at: http://www.24hoursmix.com/2014/01/ulishawahi-kumuona-diamond-platnumz.html#.UuJS2DVfsZ0.twitter

Comments