Ujambazi wa kutumia pikipiki walitikisa jiji la Dar




Ujambazi wa kutumia pikipiki unaendelea kulitikisa Jiji la Dar es Salaam, baada ya majambazi wanne waliokuwa na silaha kuvamia duka kubwa (supermarket) katika Barabara ya Mwaikibaki (zamani Old Bagamoyo) majira ya saa 10  jioni juzi na kupora pesa.

CHANZO: NIPASHE

Comments