Hatimaye Mbunge David Kafulila atunukiwa tuzo ya mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu.


Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, ametunukiwa tuzo ya kutambua harakati zake za kutetea haki za binadamu katika mazingira hatarishi nchini, likiwamo sakata la uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow.

Comments