Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Morgoro apewa siku mbili na Chadema kuwaachia watuhumiwa kabla balaa halijaanza.

.


 Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilayani hapa, kimempa muda wa siku mbili Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul, kuwaachia watu 20 waliokamatwa kwa tuhuma za kumjeruhi askari polisi F 3328 Koplo Ramadhani, vinginevyo wataitisha maandamano.

Comments