PICHA YA JAGUAR AKIWA NA RAIS UHURU KENYATTA
Jaguar ni mmoja wa wasanii wa
Kenya ambao walikula dili la kumfanyia kampeni mshindi wa Urais kwenye
uchaguzi mkuu uliomalizika Uhuru Kenyatta.
Siku kadhaa baada ya Uhuru kushinda zilianza stori kwamba Jaguar ameahidiwa nafasi kwenye serikali ya Uhuru kutokana na kufanikisha lengo.
Jaguar akiongea na Mzazi William Tuva wa Citizen Tv/Radio alisema sio kweli kuhusu kuahidiwa nafasi ya uongozi ila yuko tayari kama ataitwa
Siku kadhaa baada ya Uhuru kushinda zilianza stori kwamba Jaguar ameahidiwa nafasi kwenye serikali ya Uhuru kutokana na kufanikisha lengo.
Jaguar akiongea na Mzazi William Tuva wa Citizen Tv/Radio alisema sio kweli kuhusu kuahidiwa nafasi ya uongozi ila yuko tayari kama ataitwa

Comments
Post a Comment