Vikosi vya usalama vya Somalia vimewakamata watu 13 wanaoshukiwa kuwa
wanachama wa al-Shabaab katika operesheni ya usalama kwenye wilaya ya
Yaqshid mjini Mogadishu siku ya Jumatatu (tarehe 4 Machi).
-
Watu 13 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa al-Shabaab walikamatwa siku ya
Jumatatu (tarehe 4 Machi) katika nyumba waliyokuwa wamejificha kwenye
wilaya ya Yaqshid mjini Mogadishu. [Abdi Said/Sabahi]
-
Polisi wakionesha silaha na vifaa vilivyokamatwa kutoka kwenye nyumba
ya maficho ya al-Shabaab mjini Mogadishu siku ya Jumatatu (tarehe 4
Machi). [Abdi Said/Sabahi
Comments
Post a Comment