SHETANI TOKAAAAA!!!!!!! HUYU NI MWANAFUNZI ANAYESOMESHWA KWA KODI ZA WATANZANIA,PICHA ZA UCHI HIZI ZINAANGAMIZA TAIFA


Vitendo  vya   upigaji wa  picha  za nusu uchi  vimeendelea kushika kasi kila kukicha..
Dada huyo aliyefahamika kwa jina moja la tatu ameamu kupiga picha hizi bila uwoga katika hotel moja ya kitalii jijini arusha.huyu ni mwanafunzi katika chuo kimojawapo jijini arusha alikuwa akijirusha na kundi wa wanaume wawili na kuamua kujipigia picha hizi bila woga,Taarifa ambazo mdau wetu jovin  aliyepo arusha ametutumia zinasema alikuwa eneo la tukio na kuamua kupiga chabo ndipo alipofanikiwa kufumania tukio hili live..


Asilimia kubwa  ya  picha  hizi  hupigwa  na wanafunzi wa  vyuo  vikuuna asilimia zilizobaki  zinawalenga wasanii maarufu  wa muziki  na  maigizo.......


Dada zetu kuweni makini na maamuzi ya kijinga mnayoamua,mnajiaribia na kujiwekea sifa mbaya mbele ya jami

Comments

Popular Posts