UNATAKA KUJUA RAIS WA NIGERIA AMETOA KIASI GANI KUSAIDIA WAIGIZAJI? JIBU LIKO HAPA
Wanigeria wakiwa kazini.
.
Nollywood ndio kimekua kiwanda cha kwanza cha filamu Afrika kuzalisha movie nyingi kuliko nchi nyingine yoyote Afrika lakini asilimia kubwa ya movie zake zimekua zikikosolewa kwa kukosa ubora.
Huo mpango wa Rais Goodluck uitwao ‘Project Nollywood’ utahusisha fedha kwa ajili ya kuwapa waandishi bora wa script pamoja na kusaidia miundombinu ya utengenezwaji wa filamu

Comments
Post a Comment