VODACOM TANZANIA KUPITIA SHINDANO LA MAHELA LAENDELEA KUPAMBA MOTO HUKU BW. RAMADHANI KIBANIKE TOKA TABATA AKIPOKEA KITITA



Meneja Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa (kulia)akimkabidhi Ramadhani Kibanike mfano wa hundi ya Sh5 milioni nyumbani kweke Tabata Mawenzi mara baada ya kuibuka mshindi   wa promosheni ya Mahela inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Katikati ni mwanaye

Meneja Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Bi.Rukia Mtingwa (kulia)akichezesha droo ya promosheni ya Mahela unayoendeshwa na kampuni hiyo eneo la Tabata Mawenzi,Zaidi ya shilingi Milioni 240 zinaendelea kushindaniwa .

Meneja Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Bi.Rukia Mtingwa, akiongea na waandishi wa habari hivi karibuni alipofika Tabata Mawenzi,kumkabidhi Bw.Ramadhani Kibanike(kushoto) alieibuka mshindi wa shilingi Milioni 5 katika  Promosheni ya”MAHELA”inayoendeshwa na kampuni hiyo,mpaka sasa zaidi ya shilingi Milioni 240 zinaendelea kushindaniwa

Comments

Popular Posts