WATU 17 WAHOFIWA KUFA NA MIILI 13 YA WATU YAOPOLEWA MARA BAADA YA KUANGUKA KWA KIFUSI HUKO ARUSHA
Wananchi wa eneo hilo wakiwa na simanzi baada ya ajali hiyo.
habari za kuaminika kutoka katika chanzo kimoja jijini Arusha
wapakiaji 17 wanahofiwa kufariki dunia na tayari miili ya marehemu 15
imeshatolewa kutoka katika kifusi cha kokoto(moramu) huko Arusha.
akiongea na jamiileotz.blogspot.com kwa njia ya simu shuhuda wa tukio hilo kutoka Arusha anasema tukio hilo limetokea leo majira kati ya saa 4 na saa 5 asubuhi mara baada ya kuanguka kwa kifusi cha kokoto wakati wapaikiaji hao wakiwa shimoni wakipakia kokoto.
ajali hiyo ya kuanguka kwa kifusi imehusisha magari mawili kufukiwa na kokoto ambapo ni lori lilojulikana kama chombo cha neena pamoja na lori aina ya scania amabyo mpaka sasa bado yamefukiwa na kokoto pia yameharibika vibaya hivyo namba zako kushinda kutambulika mara moja.
uokozi bado unaendelea ili kutoa miili ya wale waliokutwa na tukio hili na pia jitihada zinafanyika kama kutaopolewa wengine wakiwa hai.
mlima wa moram uko nje kidogo ya jiji la Arusha katika eno la pekas kama unaelekea nduruma mbele kidogo ya mji wa Moshono
Mungu ametoa na Mungu ametwaa jina lake lihimidiewa Jamiileotz.blogspot.com linatoa pole sana kwa wahanga wa tukio hili
akiongea na jamiileotz.blogspot.com kwa njia ya simu shuhuda wa tukio hilo kutoka Arusha anasema tukio hilo limetokea leo majira kati ya saa 4 na saa 5 asubuhi mara baada ya kuanguka kwa kifusi cha kokoto wakati wapaikiaji hao wakiwa shimoni wakipakia kokoto.
ajali hiyo ya kuanguka kwa kifusi imehusisha magari mawili kufukiwa na kokoto ambapo ni lori lilojulikana kama chombo cha neena pamoja na lori aina ya scania amabyo mpaka sasa bado yamefukiwa na kokoto pia yameharibika vibaya hivyo namba zako kushinda kutambulika mara moja.
uokozi bado unaendelea ili kutoa miili ya wale waliokutwa na tukio hili na pia jitihada zinafanyika kama kutaopolewa wengine wakiwa hai.
mlima wa moram uko nje kidogo ya jiji la Arusha katika eno la pekas kama unaelekea nduruma mbele kidogo ya mji wa Moshono
Mungu ametoa na Mungu ametwaa jina lake lihimidiewa Jamiileotz.blogspot.com linatoa pole sana kwa wahanga wa tukio hili

Comments
Post a Comment